Kuendesha Gari ukiwa na Ugonjwa wa Kisukari

Similar documents
Towards. New HIV Infections Among Children in Tanzania

KISUKARI ENGLISH/SWAHILI

Driving with Diabetes

CHAMA CHA USHIRIKA WA AKIBA NA MIKOPO TANESCO

OKOA FIGO LAKO. Dr Gabriel L. Upunda Dar es Salaam, Tanzania. Free access to read, download and print. Interna

"Sikuwahi ambiwa jinsi nilivyokuwa mgonjwa wala Sikuelewa kwamba, Hepatitis C imenidhuru na uharibifu sana. Nildhani kuwa tatizo langu lilikuwa

ANDIKO LA MAELEZO YA KIAFYAJAMII KUSIMAMISHA OVADOSI USAMBAZAJI WA NALOXONE BAINA YA WENZI

Kenya W1 Smokeless Survey Code: KE1-L Languages: Kiswahili Mode: Face to Face

GRIZLY. 1 Liter INSECTICIDE. A systemic and contact insecticide for the control of aphids, whiteflies and thrips on roses and tomatoes.

OCV SEB Study: Explanatory Model Interview Catalogue (EMIC) Survey Phase: 2, Study Level: IV

ALBINO. kinyume na MTU MWENYE ALBINISM (PWA) MSIMAMO RASMI WA UNDER THE SAME SUN (UTSS)

Acrobat 69% WG READ THE LABEL BEFORE USING (SOMA KIBANDIKO CHA MAELEZO KABLA YA KUTUMIA) KEEP LOCKED OUT OF REACH OF CHILDREN (WEKA MBALI NA WATOTO)

GAIRO HABARI MOTO MOTO

HIV and AIDS Education Urged for Fishing Areas. Our Vision:

Meltatox 385 EC. Emulsifiable Concentrate FUNGICIDE (KIUAKUVU) KEEP LOCKED OUT OF REACH OF CHILDREN WEKA MBALI NA WATOTO

THE Geita Gold Mine. By 2007, about 2 million. GGM extends financial support for institutions fighting HIV/AIDS. Our Vision:

WADAU: Kodi inaongeza bei kondomu

AZIMUT 320 SC. 1 Liter FUNGICIDE. An agricultural systemic and translaminar fungicide for the control of yellow rust and stem rust in wheat

Understanding and improving malaria diagnosis in health facilities in Dar es Salaam, Tanzania


Regent 50 SC SUSPENSION CONCENTRATE INSECTICIDE (KIUADUDU)

ADEQUACY OF AXILLARY LYMPH NODE DISSECTION IN THE MANAGEMENT OF BREAST CANCER AT KENYATTA NATIONAL HOSPITAL

ATD Fourth World Registration nº under NGO Act, 2002 P.O. Box 61786, Dar es Salaam Tanzania Phone number:

PREVALENCE OF KERATOCONJUNCTIVITIS SICCA IN PATIENTS WITH HIV/AIDS ATTENDING THE COUPLES COUNSELLING CENTRE IN KENYATTA NATIONAL HOSPITAL

Concept Testing Discussion Guide. Tuko Wangapi Tulizana Phase 2 Bagamoyo, November 7, 12. Location..Gender No of participants

NANDI COUNTY ASSEMBLY OFFICIAL REPORT

INAUGURALDISSERTATION

English - Swahili Dictionary of Meteorological Terms. Kamusi ya Kiingereza - Kiswahili ya Istilahi za Hali ya Hewa. Kenya Meteorological Department

COME FIRST, GET RIGHT ANSWER

von Nahya Salim Masoud Aus Zanzibar, United Republic of Tanzania Basel, 2015

March 23, 2016 PARLIAMENTARY DEBATES 1 NATIONAL ASSEMBLY OFFICIAL REPORT. Wednesday, 23 rd March, The House met at 9.30 a.m.

AN EVALUATION OF INTEGRATED INTERVENTIONS TO IMPROVE ACCESS TO MALARIA TREATMENT IN TANZANIA (ACCESS PROGRAMME)

Hospice and Palliative Care. Team Building: Involving the Church

ACCESS TO ART, ADHERENCE AND DRUG RESISTANCE AMONG HIV-POSITIVE PATIENTS IN RURAL TANZANIA

von Amani Shao Aus Kilimanjaro, Tanzania Basel, 2015 Originaldokument gespeichert auf dem Dokumentenserver der Universität Basel edoc.unibas.

Promotion of Community based cultivation of Hibiscus sabdariffa, Moringa oleifera, Adansonia digitata and Aloe vera

TB/HIV KAP SURVEY REPORT

NACOPHA yaanika fursa

TAARIFA YA UFUATILIAJI NA TATHMINI YA UKIMWI MKOA WA MBEYA

ENGLISH/SWAHILI BASICS NO SMOKING/USIVUTE SIGARA UNSURE/SINA UHAKIKA

OUTCOMES OF URETHRAL STRICTURE AT MUHIMBILI NATIONAL HOSPITAL AND TUMAINI HOSPITAL, DAR ES SALAAM.

Embe Halijamenywa: The unpeeled mango

Assisting Birth Attendants in Providing Acceptable Care under Unacceptable Clinical Realities

Tanzanian team. Editor s Note Tanzania is now witness to unprecedented. Big up to Tanzania s anti-stigma law! Issue No. 011 April. 8- April.

Ee: JQJIATHAfl THSa* V C. S.,7. KIAIB CKE SO. 122SA8.

GAINING ACCESS TO PROMPT AND APPROPRIATE MALARIA TREATMENT IN THE KILOMBERO VALLEY, TANZANIA: A HEALTH SOCIAL SCIENCE PERSPECTIVE

CLIENTS SATISFACTION WITH SERVICES FOR PREVENTION OF MOTHER-TO-CHILD TRANSMISSION OF HIV IN DODOMA RURAL DISTRICT

Estimating the Sequestered Load in Plasmodium falciparum Malaria

A REVIEW OF MANAGEMENT OF FEMORAL NECK FRACTURES IN KENYATTA NATIONAL HOSPITAL BY DR. DAN F.OJ OCHIEL M.B.CH.B (NAIROBI)

Management of Sexually Transmitted and Reproductive Tract Infections

Camilla Wirseen Patna 1 dec Saving Lives

BTS NEWSLETTER. Chair s Report How we started, What we do now The way ahead - see page 14. "Request for help as BTS enters a new phase"

Habari Gani. Save thedate! June 8th. September 2017

AIDS PANDEMIC: THE VOICE OF THE YOUTH IN THE KISWAHILI NOVEL

MINISTRY OF COMMUNITY DEVELOPMENT GENDER AND CHILDREN WOMEN S INFORMATION CENTRE

BTS NEWSLETTER.

GRANT DISBURSEMENT REPORT: Donor: Association for Improvement of Mental Health Programs. Beneficiary: KANGEMI COMMUNITY HEALTH VOLUNTEERS GROUP

Mark W.J. Strachan Brian M. Frier. Insulin Therapy. A Pocket Guide

Language Use in the Portrayal of both Women and Men in HIV/AIDS Public Sensitization Texts in the Tanzanian Mass Media

Working together to eliminate cyanide poisoning, konzo and tropical ataxic neuropathy (TAN).

PREVALENCE OF CHRONIC RHINOSINUSITIS IN CHILDREN WITH DYSPEPSIA AT KENYATTA NATIONAL HOSPITAL AND GERTRUDE S CHILDREN S HOSPITAL PRINCIPLE RESEARCHER:

The Health Choices Book: Learning to think carefully about treatments

PLEASE SCROLL DOWN FOR ARTICLE

Wazazi Nipendeni (Love me, parents!) Impact of an Integra5on Na5onal Safe Motherhood Campaign in Tanzania

We Are All Going to Die : Kinship, Belonging, and the Morality of HIV/AIDS-Related Illnesses and Deaths in Rural Tanzania

PUBLIC AND ENVIRONMENT HEALTH ACT, NO. 11 OF 2012 ARRANGEMENT OF SECTION PART ONE PRELIMINARY PROVISIONS

Sources of Donor Organs & Their Ethical Implications. Baraka M. Morris, BScN, RN, MBE

Your Diabetes Handbook

ANZCOR Guideline First aid Management of a Diabetic Emergency

Estimation of Blood Glucose level. Friday, March 7, 14

INFORMATION ON DRIVING AND DIABETES: GROUP 2 VEHICLES

Pathway for Adult Patients with Diabetes attending the Emergency Department (ED) with Hypoglycaemia

NEW DRUGS. edited by JOHN FEELY MD FRCPI

Hypoglycemia. When recognized early, hypoglycemia can be treated successfully.

Insulinoma - 72 hour Fast Protocol - RNS Endocrinology

KIVULINI WOMEN S RIGHTS ORGANIZATION ANNUAL PROGRAM REPORT 2013

HYPOS. can strike twice

TRUST CORE CLINICAL POLICY THE MANAGEMENT OF HYPOGLYCAEMIA IN ADULTS. Clinical Policies Group

Guide to Starting and Adjusting Insulin for Type 2 Diabetes*

Frequency of Severe Hypoglycemia Requiring Emergency Treatment in Type 1 and Type 2 Diabetes. A population-based study of health service resource use

An Open Randomized Study Prague-5 ˆ

Comparison of intramuscular glucagon and intravenous dextrose in the. accident and emergency department. treatment of hypoglycaemic coma in an

Essential advice for people with diabetes from Accu-Chek. Get the low-down on hypos

Guide to Flexible Insulin Therapy for Families

Minimally invasive treatment of traumatic high rectovaginal fistulas

The Evolving Global Nutrition Situation: Why Forests and Trees Matter

DIABETES CARE TASKS AT SCHOOL: What Key Personnel Need to Know

5 th. Postgraduate Course on Clinical Diabetes and its Complications October 2017 Prague Czech Republic Hotel Pyramida

DIABETES WITH PREGNANCY

Unstable diabetes. Hypoglycaemia. Type 1 diabetes. Type 2 diabetes

TANZANIA DIRECTORY OF CIVIL SOCIETY ORGANISATIONS

Prof. Dr. Sehnaz Karadeniz

The Impact of Value-Orientations on Cross-cultural Encounters and Mediation: A Survey in Tanzania s Educational System

The Association of British Clinical Diabetologists (ABCD) Clinical Audit Programme

GLUCAGON ADMINISTRATION STUDENTS WITH TYPE 1 DIABETES DECEMBER

Handbook of Insulin Therapies

NCT Number: NCT

Together Until the End

Key Populations Newsletter

Transcription:

Kuendesha Gari ukiwa na Ugonjwa wa Kisukari Jan Broz Pooja Dhebar Brian Frier

Assist.prof. Jan Broz, MD ni profesa msaidizi wa Internal Medicine kwenye Chuo kikuu cha Charles kitivo cha pili cha matibabu huko Prague, jamhuri ya Czech. Amebobea zaidi kwenye Internal Medicine na Kisukari, na ametumika miaka mingi kama mkuu wa kitengo cha kisukari cha internal medicine cha kitivo cha hospitali ya Kralovské Vinohrady, Prague. Kwa sasa, ana fanya tafiti mbalimbali zinazohusiana na elimu na utekelezaji wa teknolojia ya kisasa kwa maeneo ya kudhibiti ugonjwa wa kisukari na elimu kuhusu kisukari. Jan Broz ni mwandishi na ni mwandishi mahili wa machapisho, vitabu na kurasa za vitabu. Ni mwandishi mahili pia wa vitabu mbalimbali na matoleo ya mtandaoni yanayohusu kuelimisha wagonjwa wa kisukari. Baadhi ya vitabu vyake vimetafsiriwa kwa lugha nyingine za kigeni. Ana hudumu kama mwanachama wa bodi ya wahariri ya kituo cha wagonjwa wa kisukari; na ni mwazilishi mwandamizi na muunganishi wa watu wanaojitolea juu ya mradi wa kliniki mbalimbali uliopo Kathmandu, Nepal. Ni Rais wa Diacentrum, chama kisichokuwa cha kiserikali cha kimataifa, kinachotoa elimu kwa wenye ugonjwa wa kisukari kote jamhuri ya Czech na ng ambo ya nchi. Jan Broz ni mjumbe wa kamati ya Czech Diabetes Society. Pooja Dhebar ni mwanafunzi kwenye Chuo kikuu cha Charles kitivo cha pili cha matibabu huko Prague, jamhuri ya Czech. Brian Frier, BSc (Hons), MD, FRCP (Edin), FRCP (Glas), ni profesa anaye heshimika wa ugonjwa wa kisukari katika chuo kikuu cha Edinburgh, mwenye mahusiano na Queen s Medical Research Institute, na awali alikuwa tabibu mshauri katika Royal Infirmary of Edinburgh. Utafiti wake mkuu ulihusika juu ya pathophysiolojia ya hypoglykemi kwa binadamu walio na aina maalumu ya kisukari na ameandika mengi juu ya eneo hili. Tafiti zingine zilizo gusa ugonjwa wa kisukari zilihusu kujitambua na udereva. Ni mzungumzaji mwalikwa wa hypoglykemi kwa mikutano ya kitaifa na kimataifa na katika mwaka 2009 alikuwa mzungumzaji aliyekumbukwa wa magonjwa ya kisukari UK. Mwaka 2004 alitunukiwa tuzo ya Somogyi kwa utafiti wake juu ya hypoglykemi kutoka Hungarian Diabetes Association. Prof Frier alikuwa ni makamu wa Rais wa Royal College of Physicians of Edinburgh (2008-12), na alikuwa ni mwenyekiti wa chama cha madaktari washauri juu ya udereva na kisukari kwa katibu mkuu anaye husika na usafiri huko UK tangu 2001-2012.

Waandishi na mchapishaji wamefanya jitihada kubwa ili kwamba taarifa kuhusu tiba, mbinu na taratibu za matibabu zinalingana na ujuzi wa hivi karibuni wakati kazi hii ikiandaliwa. Hata hivyo, waandishi na mchapishaji hawata husika na lolote kuhusu maudhui ya taarifa na wanapendekeza kufuata maagizo ya karatasi zinazotolewa na wafamasia na kushauriana na daktari wako kuhusu matibabu yoyote.

Kuendesha magari Siku hizi ni kawaida kuendesha gari. Watu wazima wengi wa nchi hii, ikiwa hawaendeshi mara kwa mara, wanaendesha pale inapobidi au angalau wanamiliki leseni ya udereva. Hata hivyo, kuendesha gari au pikipiki ni hatari, na inaweza kwa wakati fulani kusababisha ajali na kusababisha majeraha, au inaweza kusababisha vifo. Kwa mtu mwenye ugonjwa wa kisukari,hasa yule anayetibiwa na insulini, kuna hatari ya ziada, inaitwa hypoglykemi. Hypoglykemi huongeza hatari inayoweza kutokea wakati wa kuendesha chombo cha moto. Inaweza kuwa na athari mbaya ya kazi za utambuzi (kutoyaelewa mazingira), kushindwa kufanya maamuzi (tathmini yataarifa inayokuzunguka) na wakati wa kuchukua hatua(kutokujua yakupasayo). Ikiwa hypoglykemi itasababisha upotevu wa fahamu wakati wa kuendesha safari inaweza kuishia vibaya. Lengo la chapisho hili ni kuwafanya madereva wanaotumia insulin waelewe athari na namna ambavyo wanaweza kupunguza hatari hizi zisitokee. Hypoglykemi ni nini? Hypoglykemi ni hali ambayo kiasi cha glukosi kwenye damu kinapungua chini ya kiwango kilichokubalika. Glukosi ni chanzo cha nguvu kwa ajili ya ubongo, ambao huathiriwa haraka sana kama damu haitakuwa nayo. Kama hypogykemi itadumu kwa muda mrefu na kama kiwango cha glukosi kitashuka kwa haraka zaidi, mtu huchanganyikiwa na kutojielewa na anaweza pia kupoteza fahamu. Athari za Hypoglykemi Hatari zinazazohusishwa na hypoglykemi ni pamoja na mwingiliano wa kawaida wa utendaji wa ubongo ambao inaweza kuonekana kwa uelewa hafifu juu ya mazingira, uono hafifu, na pia kwa kuwa na maamuzi ya taratibu na kuchanganyikiwa kunakoendelea kama ilivyoelezwa awali, mtu hupoteza fahamu.

Ni wazi kwamba hali hii ikiwa endelevu itapelekea kupoteza fahamu wakati ya kuendesha gari itaingilia kati kwa haraka ufanisi na kusababisha hatari ya ajali. Ni vema kukumbuka kwamba hata dalili za mwanzo za hypoglykemi kama kusisimka na njaa pia zaweza kuwa na matokeo hasi juu ya uwezo wa kuamua, na inaweza kuathiri uwezo wa kuendesha. Namna ya kutambua hypoglykemi Kushuka kiwango cha glukosi katika damu chini ya kiwango cha kawaida huambatana na tabia zinazo onyenya dalili zinazo muonya muhusika juu ya chanzo cha hypoglykemi. Dalili huweza kutokea bia mpangilio maalum, na kwa kiwango tofauti cha ukubwa. Baadhi ya dalili zinaweza zisionekane, hasa kama upotevu wa glucose kwenye damu ni wa haraka. Dalili za hatari sana na ishara ya hypoglykemi: Kuhisi njaa Woga au wasiwasi Ngozi kupauka Moyo kudunda kwa kasi Kutoka jasho Kutetemeka, hasa katika mikono Uono hafifu Tabia isiyo ya kawaida Kuzungumza kwa shida Kushindwa kuzingatia kuchanganyikiwa Kujisikia kulala

Ni wakati gani unaweza kutarajia hypoglykemi? Ni muhimu wakati wote kujilinda dhidi ya hypoglykemi kwani inaweza kutokea bila tahadhari wakati wowote. Zifuatazo ni hali ambazo zitapelekea athari kuwa kubwa zaidi: Kipindi hatari zaidi cha hypoglykemi kinachohitaji kiwango cha kawaida cha chupa za insulin ni baada ya masaa 3 yakifuatiwa na sindano ya dawa ya insulin inayofanya kazi haraka. Katika kipindi hiki kiwango cha insulin kwenye damu ni kikubwa mno ingawa kiwango kikubwa cha glukosi kitakuwa tayari kimetumika mwilini. Hivyo ni muhimu kula kitu cha kutafuna katika wakati huu ili kuzuia hypoglykemi. Kama kiwango cha dozi ya insulin ni kwa kiasi fulani ni kikubwa ukilinganisha na kiwango cha sukari kilichomo katika chakula ulichokula. Kama mgonjwa akitumia insulin wakati kiwango cha glukosi ni cha kawaida na kama hajala chakula chochote au aliahirisha kula. Kama dozi ya insulin haikurekebishwa au amekula chakula kingi kukabili jipe mazoezi ya mwili (michezo, kazi za nguvu, kutembea mwendo mrefu nk). Kama utakunywa mvinyo kiasi cha 0.5 l au pombe kali. Pombe ina zuia uzalishaji wa glukosi kutoka kwenye ini, ambacho ni kiungo muhimu kwa ajili ya kuzuia hypoglykemi. Kwa hali hii hata sindano ya glucagon inaweza isifanye kazi. Usinywe pombe unapo endesha gari. Hypoglykemi inaweza kutokea kwa wagonjwa wenye kisukari aina ya 2 kama watatibiwa na aina Fulani ya vidonge vya kuzuia kisukari kupitia mdomoni (km. kwa sulphonylureas au glinides). Hata kwa vidonge hivi, hypoglykemi inaweza kuwa hatari au ikawa inatokea mara kwa mara. Kila mwenye type 2 diabetes apate ushauri wa daktari kuhusu matibabu na athari zinazoweza kujitokeza na kuleta hypoglykemi kwa kushirikisha tabia hizi.

Namna ya kuzuia athari za hypoglykemi Pata ushauri wa kitaalamu juu ya kuendesha gari. Acha kuendesha gari kama huna uwezo wa kuzigundua dalili za hypoglykemi. Kwa hali hii, hypoglykemi hutokea mara, hukufanya ushindwe kupata maamuzi ya kutosha. Usiendeshe kama matokeo mbalimbali ya hypoglykemi mbaya (kama unahitaji kupona kwanza) imetokea hivi punde. Inua kiwango cha glukosi juu ya 5.0 mmol/l unapoendesha gari. Wakati wote pima kiwango cha glukosi kwenye damu kabla ya kuendesha gari na uwe na kitu cha kula kama itakuwa pungufu ya 5.0 mmol/l Pima kiwango cha glukosi kwenye damu kila baada ya masaa mawili kama unaendesha. Jiwekee glukosi iliyotayari kwenye gari lako kama hypoglykemi itatokea. Ufanye nini hypoglykemi ikitokea Kama kuna dalili kidogo tu za hypoglycemia, ni muhimu kusimama kuendesha maramoja. Wagonjwa wazoefu wanauwezo wa kutambua hypoglykemi hatua za mwanzo. Wagonjwa wenye uzoefu mdogo lazima waangalie kiwango cha glukosi kwenye damu kwa glucose meter. Kama hypoglykemi ipo, ni muhimu kwa haraka sana ulambe sukari, au aina ya glucose concentrate, sucrose, au sukari kutoka katika vinywaji laini (sio kile kisicho na sukari). Kiwango kilichopendekezwa cha sukari ni kati ya 10 40 g kulingana na hali ya ukubwa wa dalili na kiwango cha glukosi katika damu. Kwa marejeo rahisi : 10 g za sukari hupandisha glucose kwenye damu kwa takribani 0.7 mmol/l (1 4 dl ya matund au soda, chai ikiwa 1 4 cubes za sukari, nk.)

Kwa hypoglycemia iliyokithiri, mgonjwa hawezi kujihudumia kwa sababu ya kuchanganyikiwa au kupoteza fahamu. Kumlambisha kiasi Fulani cha sukari mdomoni haitafaa sana na inaweza kumsababishia kupaliwa. Inashauriwa umchome sindano ya glucagon (Glucagen- Hypokit), ambayo kila mgonjwa anatakiwa kuibeba. Kwa vyovyote vile, ni muhimu kupiga simu ya dharura kwa ajili ya msaada zaidi (the ambulance) mara moja. Kama hypoglykemi itatokea kipindi unaendesha gari, kipindi cha muda wa dakika 45 ni muhimu ubongo ukarudia hali yake ya kawaida ili akili irudi sawa. Kwa hiyo usirudie kuendesha gari kabla ya dakika 45 kupita na kuruhusu kiwango cha glukosi kwenye damu kurekebika.

Habari ya mchapishaji na ya hati miliki: Kuendesha Gari ukiwa na Ugonjwa wa Kisukari Reviewer: prof. Zdeněk Rušavý,MD, PhD Cover: Barbora Drašnarová Graphics: Martin Záhora Editor: Dominika Grygarová First published 2017 Diacentrum, NGO Prague, Czech Republic ISBN 978-8087630-14-3